Jinsi ya kupata cheti cha kuzaliwa kwa njia ya mtandao

Jinsi ya Kupata Cheti cha Kuzaliwa kwa Njia ya Mtandao nchini Tanzania Cheti cha kuzaliwa (Birth Certificate) ni hati muhimu sana kwa kila raia wa Tanzania. Kinatumika katika kupata kitambulisho cha taifa (NIDA), mkopo wa elimu (HESLB), kusajili ndoa, kupata pasipoti, ajira na huduma nyingine nyingi za serikali. Awali, mchakato wa kupata cheti ulikuwa unahitaji…

Read More