Kuhakiki leseni ya udereva
MAKALA: Kuhakiki Leseni ya Udereva nchini Tanzania Leseni ya udereva ni hati muhimu ya kisheria inayomruhusu mtu kuendesha chombo cha moto kisheria. Nchini Tanzania, leseni hii inatolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) baada ya kufanya mtihani wa udereva kupitia shule iliyosajiliwa na kupasishwa na Jeshi la Polisi (Kikosi cha Usalama Barabarani). Hata hivyo, mara…