Ajira za Walimu 2025/2026: Serikali Yatangaza Majina ya Walioitwa Kazini – Hongera na Maelekezo Muhimu
Serikali ya Tanzania, kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (UTUMISHI), imeendelea kutimiza ahadi yake ya kuimarisha sekta ya elimu kwa kuajiri walimu wapya katika mwaka wa masomo 2025/2026. Tangazo hili linawahusu walimu wa kada ya Mwalimu Daraja IIIA na wengine waliofaulu usaili na kuwekwa kwenye database ya ajira. Hii ni fursa kubwa kwa…