Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia FIFA 2026: Orodha Kamili, Wenyeji na Mshangao wa Timu Mpya!
2026 World Cup logo revealed Habari njema kwa kila shabiki wa soka duniani! Kombe la Dunia la FIFA 2026 linakuja kwa kasi – na kwa mara ya kwanza katika historia, litakuwa na timu 48 badala ya 32. Michuano hii itafanyika nchini Canada, Mexico na Marekani kuanzia Juni 11 hadi Julai 19, 2026. Je, unajua timu…